We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Sunday, September 15, 2019

Mechi ya marudiano kati ya Yanga na ZESCO kupigwa Septemba 28 Zambia

Kocha Mwinyi Zahera ana wiki mbili za kukiandaa kikosi chake kuelekea mchezo wa marudiano ligi ya mabingwa dhidi ya ZESCO United
Mchezo huo utapigwa Jumamosi ya Septemba 28 Ndola nchini Zambia
Uongozi wa Yanga umewahakikishia wapenzi, wanachama na mashabiki wake kuwa wamedhamiria kupata matokeo nchini Zambia hivyo watafanya maandalizi kabambe
Katika mchezo huo Yanga itahitaji matokeo ya ushindi au sare ya kuanzia mabao 2-2 ili iweze kutinga makundi

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list