We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Thursday, July 11, 2019

TFF YAMKANA JOSEPH OMOG KUWA KOCHA MKUU WA TAIFA STARS

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limekanusha taarifa zilizosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuwa aliyewahi kuwa kocha wa Azam Fc na Simba Mcameroon Joseph Omog ameteuliwa kuwa kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars'
Kulingana na taarifa iliyotolewa na TFF, Omog hajaomba kazi hiyo

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list