We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Monday, March 25, 2019

Watu waangua vicheko Ikulu, Manara akimwambia JPM “ipo siku utawaita Simba Ikulu” (+video)

Msemaji wa klabu ya soka ya Simba Haji Manara amemwambia Rais Magufuli kuwa ipo siku ataikaribisha Klabu ya Simba Ikulu kama ikitokea ikachukua Ubingwa wa Afrika japo amekiri kuwa sio kazi rahisi kwao kushinda ila wana mikakati.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list