We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Thursday, September 26, 2019

CEO Simba kushuhudia mchezo dhidi ya Kegera Sugar

Mtendaji Mkuu wa Simba Senzo Mazingiza leo atakuwepo uwanja wa Kaitaba kushuhudia mchezo wa ligi kuu ya Vodacom kati ya Kagera Sugar dhidi ya Simba
Mazingiza ameondoka mapema leo kuelekea Kagera kwa ajili ya mchezo huo ambao utapigwa saa kumi jioni
Kikosi cha Simba kiko mkoani Kagera tangu jana ambapo jioni kilifanya mazoezi ya mwisho kwenye uwanja wa Kaitaba
Mchezo huo unasubiriwa kwa hamu na mashabiki wa soka nchini

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list