We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Monday, August 5, 2019

Rais Magufuli ataka kufutwa utitiri wa Kodi SADC

Rais   Magufuli amehimiza sekta binfasi katika nchi za SADC kuendelea kuwa na ujasiri wa kufungua viwanda vingi hapa nchini kwa kuwa serikali inaendelea kuboresha mazingira  mazuri ya uwekezaji.

Rais Dkt.Magufuli ameyasema hayo wakati akifungua Maonesho ya nne ya wiki ya viwanda kwa nchi  za SADC jijini Dar Es Salaam na kusisitiza umuhimu wa kufungua viwanda vingi wakati huu mazingira ya uwekezaji yakiboreshwa ikiwemo ujenzi wa mradi mkubwa wa umeme wa Rufiji utakaosaidia kupunguza bei ya umeme pindi utakapokamilika.

Katika hotuba yake ya ufunguza Rais Dkt.Magufuli amendelea kuhimiza umuhimu wa kufutwa kwa utitiri mkubwa wa kodi kwa nchi za wanachama wa SADC kwa lengo la kuongeza hamasa ya uwekezaji wa viwanda vitavyosaidia kuongeza ajira na kukuza uchumi kwa nchi za SADC.

Kadhalika Rais Dkt.Magufuli amehimiza uwekezaji pia katika viwanda vya madini kwa kuwa nchi nyingi za SADC zina rasilimali za kutosha za madini na kupongeza uwekezaji wa viwanda hapa  inayofikisha viwanda elfu nne kwa sasa.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list