We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Monday, August 5, 2019

Mo kununua timu ya daraja la kwanza

Mwekezaji wa klabu ya Simba Mohammed Dewji 'Mo' ameibua wazo la kununua timu ya daraja la kwanza ambayo itakuwa timu ya pili ya Simba
Akizungumza kwenye hafla ya uwekaji jiwe la msingi uwanja wa Simba ulioko Bunju leo, Mo alisema timu hiyo itasajili kikosi cha vijana cha Simba na itatumika kuandaa wachezaji ambao watasajiliwa na timu ya wakubwa na wengine kuuzwa kwenda timu nyingine
Mo amesema timu hiyo itaitwa Simba Sc na itakuwa ikishiriki ligi daraja la kwanza na madaraja ya chini tu hata ikitokea imepanda ligi kuu itabaki hukohuko

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list