We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Wednesday, August 28, 2019

Paul Pogba afunguka ishu ya ubaguzi wa rangi


Kiungo mshambuliaji wa Manchester United, Paul Pogba amefunguka kuwa sakata lake la kubaguliwa kisa rangi yake kumempa nguvu ya kuwa imara zaidi. Pogba amesema ubaguzi wa rangi kwake anaona ni ushamba na unapoteza muda kufanya mambo makubwa.

Ikumbukwe Pogba alishambuliwa kwenye mitandao ya jamii baada ya kushindwa kufunga penalti kwenye mchezo wa ligi kuu Uingereza (EPL) dhidi ya Wolves na kutoka sare ya 1-1.

Wakati huo huo, kocha wa Man U Ole Gunnar Solskjaer amesema sasa anamruhusu Paul Pogba kupiga penalti baada ya Marcus Rashford aliyekuwa akimwamini kukosa mkwaju wa penalti dhidi ya Crystal Palace kwenye ligi kuu Uingereza.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list