We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Thursday, August 29, 2019

Kesi inayomkabili Haji Manara na wenzake watatu mambo yamekwiva

Kesi ya madai inayomkabili Msemaji wa klabu ya Simba, Haji Manara na wenzake watatu katika Mahakama ya Mkazi Kisutu jijini Dar Es Salaam, imeahirishwa hadi Septemba 30, 2019.
Haji Manara na wenzake wawili Beatrice Ndungu na Palm General Supply wanadaiwa fidia ya Tsh Milioni 83.3 na mfanyabiashara Abu Masoud Al Jahdhamy.
Imeelezwa kuwa watatu hao walipokea bidhaa zenye nembo ya Dela Boss Perfume bila kuzilipia.
Kesi hiyo ya madai yenye namba 128/2019 imeahirishwa na Hakimu Mkazi Mkuu, Agostina Mbando mpaka tarehe 30 mwezi ujao Mwaka huu itakapotajwa tena.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list