We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Thursday, July 11, 2019

Watu 10 wafariki baada ya treni kugongana


Watu wasiopungua 10 wamefariki na wengine 50 kujeruhiwa baada treni ya abiria waliyokuwa wakisafiria kugongana na treni ya mizigo katika mji wa Rahim Yar Khan mashariki mwa Pakistan hivi leo asubuhi.

Kulingana n ripoti, treni hiyo ya abiria ilikuwa ikielekea kusini magharibi mwa mji wa Quetta kutoka mashariki mwa Lahore wakati ilipogongana na treni ya mizigo katika kituo cha reli cha Walhar huko Rahim Yar Khan katika mkoa wa Punjab.

Madaktari wamesema kuwa kuna uwezekano wa idadi ya vifo kuongezeka kwa sababu wengi wa waliojeruhiwa wako katika hali mahututi.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list