We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Thursday, July 11, 2019

Kampuni ya China yaanza kujenga kiwanda cha kutengeneza Kompyuta na Simu Uganda


Kampuni ya China inayojulikana kama ENGO Holdings Limited imeanza kujenga kiwanda cha kutengeneza kompyuta na simu za mkononi nchini Uganda. Kiwanda hicho kinajengwa katika eneo la kibiashara la Namanye nchini humo.

Pindi kiwanda hicho kitakapokamilika kitakuwa cha kwanza nchini humo. Tayari kampuni hiyo imesaini makubaliano na mamlaka ya kitaifa ya Technolojia kwa niaba ya serikali.

 Waziri wa Mawasiliano wa Uganda amesema kiwanda hicho kitaunda ajira nyingi kwa waganda wengi ambao wengi wao hawana kazi. Taarifa hii inakuja miezi michache tu baada ya kampuni nyingine ya kutengeneza simu ya China kufungua kiwanda cha kuunganisha simu nchini humo.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list