We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Friday, July 12, 2019

Usajili wa wachezaji kwa timu za Ligi kuu wasuasua


Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania TFF limevitaka vilabu vinavyoshiriki Ligi kuu Tanzania bara kufanya usajili kwa wakati kabla ya Julai 31 mwaka huu ambapo zoezi hilo litafungwa.

Msemaji wa Shirikisho hilo Clifford Ndimbo amesema,kumekuwa na muitikio mdogo wa usajili wa wachezaji wa vilabu vinavyoshiriki Ligi kuu ya Tanzania bara kwa kutumia mfumo wa TFF FIFA Connect.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list