Leo July 11, 2019 Kamanda wa Kanda Maalum ya DSM Lazaro Mambosasa amezungumzia taarifa za Jengo la Quality Center kuvamiwa na Majambazi, ‘Ni kweli nina taarifa nilikuwa naenda nimerudishwa njiani, sijui nani anataka kutest zari, alikuwa ni Mhalifu alipoona Askari akakimbilia Benki huku akiita Polisi wezi”
We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.
Subscribe to our RSS feed to stay updated on our progress.
No comments:
Post a Comment