We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Thursday, July 4, 2019

Ngasa aongeza mkataba Yanga

Hakuna tena wasiwasi baada ya winga teleza Mrisho Ngasa kuthibitisha kuwa ameongeza mkataba kuendelea kukipiga Jangwani
Ngasa alikuwa aliwaniwa na timu kadhaa kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Lakini leo amethibitisha,  haelekei huko baada ya kuongeza mkataba Yanga
Ukizungumzia wachezaji waliofanya vizuri kwenye kikosi cha Yanga msimu uliopita,  Ngasa ni mmoja wao
Hakuna shaka msimu ujao unaweza kuwa mzuri zaidi kwa mwamba huyo kutoka Kanda ya Ziwa kwani atacheza kwenye kikosi kilichosheheni mafundi wengi wa mpira

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list