We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Thursday, July 4, 2019

BREAKING: Kahata tayari, asaini miaka miwli

Uongozi wa Simba tayari umemtambulisha kiungo Francis Kahata aliyetua kutoka klabu ya Gor Mahia
Kahata amesaini mkataba wa miaka miwili kuwatumikia mabingwa wa nchi
Usajili wa kiungo huyo fundi ulikuwa ukisubiriwa kwa hamu na Wanamsimbazi
Kuchelewa kukamilika kwa baadhi ya michakato kumepelekea fundi huyo kutambulisha jioni tofauti na ilivyozoeleka saa saba mchana

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list