We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Thursday, July 11, 2019

Msikae mbele ya maduka yao na kuwabana - Rais Magufuli


Rais Magufuli amesisitiza mfanyabiashara mdogo aliyelipia kitambulisho cha ujasiriamali asisumbuliwe na apewe ruhusa ya kufanya biashara popote nchini bila kulipishwa pesa nyingine.

Ametoa kauli hiyo leo July 11, 2019 alipozungumza na Wananchi akitokea Karagwe kuelekea Chato.

"Niwaombe pia na wafanyabiashara wadogo,msiwabugudhi wafanyabiashara wenye maduka,kwasababu wao wanalipa kodi kubwa TRA na nyie mnalipa Tsh. 20,000 ya vitambulisho, msikae mbele ya maduka yao na kuwabana," amesema.

Pia Rais Magufuli ameagiza kutolewa Lupango kwa Bwana 'Pesha' aliyekuwa akiwatoza fedha wafanyabiashara wenye vitambulisho, huku akisema amemsamehe kwani ana watoto wanaomtegemea.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list