We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Thursday, July 11, 2019

Kamanda Muroto aibuka na mawakala feki wa mitandao

Jeshi la Polisi Dodoma kwa kushirikiana na Mamlaka ya mawasiliano nchini TCRAimeendesha operation maalum ya kukagua mawakala wanaosajili line za simu ili kubaini makosa mbalimbali ikiwemo kufanya udanganyifu ikiwemo kusajili zaidi ya mtu mmoja kwa kutumia kitambulisho kimoja.
Kamanda wa Polisi Gilles Murotoamezungumza na Waandishi wa habari na kuwaeleza hatua zilizochukuliwa kwa watuhumiwa waliowakamata na kutoa onyo kwa wale wanaoendelea na michezo hiyo.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list