We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Wednesday, July 10, 2019

Mechi tatu za mwanzo Simba kupigwa uwanja wa Uhuru

Simba itaanza kampeni ya kutetea ubingwa wake kwa msimu wa tatu mfululizo itakapoumana na JKT Tanzania, August 23 kwenye uwanja wa Uhuru
Lakini kabla ya mchezo huo, August 17 Simba itaumana na Azam Fc katika mchezo wa Ngao ya Jamii ambayo utapigwa katika uwanja utakaofahamika baadae
Michezo mitatu ya mwanzo kwenye ligi yote itapigwa uwanja wa Uhuru kwani baada ya kucheza na JKT Tanzania, Septemba 17 Simba itacheza na Mtibwa Sugar katika uwanja huo huo kabla ya kuumana na Lipuli Fc Septemba 22 2019

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list