We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Wednesday, July 10, 2019

Mchezaji mpya wa Yanga Sadney kutinga Morogoro kesho

Ukimuondoa Farouq Shikalo ambaye atajiunga na Yanga baada ya mchuano ya Kagame kumalizika, Mshambuliaji Sadney Urikhob ndiye pekee ambaye hakuwa ameripoti kwenye kambi ya timu hiyo mkoani Morogoro
Uongozi wa Yanga umethibitisha kuwa mshambuliaji huyo yuko njiani na kesho ataungana na wachezaji wengine mkoani Morogoro
Urikhob ni miongoni mwa nyota wapya nane wa kigeni waliosajiliwa na Yanga kwa ajili ya msimu ujao
Wengine ni Farouk Shikalo, Mustafa Suleyman, Lamine Moro, Patrick Sibomana, Issa Bigirimana, Juma Balinya na Maybin Kalengo
Kalengo, Moro, Sibomana, Bigirimana, Balinya na Mustafa tayari wako mkoani Morogoro

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list