We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Friday, July 12, 2019

Aweso alivyoamuru Meneja, Mhasibu wakamatwe kisa Milioni 15 (+video)

Naibu Waziri wa Maji Jumaa Aweso ameamuru kukamatwa kwa Meneja wa Bodi ya Wadhamini ya Watumia Maji katika Kata ya Heru juu Wilayani Kasulu baada ya kutuhumiwa kufanya ubadhilifu wa fedha zaidi ya Shilingi Milioni 15 za makusanyo katika mradi wa maji.
Akiendelea na ziara yake katika Mkoa wa Kigoma Naibu Waziri Aweso amepokea malalamiko kutoka kwa wananchi wa Kata ya Heru juu walioeleza kutoridhishwa na uendeshwaji wa mradi huo ambao umekuwa si wa uwazi ikiwemo kutokusomewa mapato na matumizi huku taarifa za awali kutoka kwa Mkaguzi zikibainisha Milioni 15 zimetumika nje ya mfumo. 

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list