We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Friday, July 12, 2019

Diamond Platnumz kuongeza msanii mwingine kwenye lebo yake ya WCB


Msanii wa Muziki Bongo wa C.E.O wa lebo ya  Wasafi Classic Baby (WCB), Diamond Platnumz amefunguka kuwa leo watamsaini msaini mwingine kwenye lebo hiyo.

Ikumbukwe msanii wa mwisho kusainiwa na lebo hiyo ni Mbosso ambaye alisainiwa Jan, 27, 2018 ambapo ameweza kutoa nyimbo nyingi na kufanya vizuri.

Hata hivyo bado haijajulikana Diamond Platnumz atamsaini msanii yupi huku mashabiki wakiwa na shauku ya kuongezwa msanii wa kike katika lebo hiyo inayofanya vizuri nchini.

Hadi kufikia sasa lebo ya WCB ina wasanii watano ambao ni Diamond, Harmonize, Rayvanny, Mbosso, Lavalava, Queen Darleen. Pia utakumbuka msanii Rich Mavoko alikuwa kwenye lebo hiyo kutokana kushindwana kibiashara.



No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list