We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Thursday, June 27, 2019

Chelsea yamchukua jumla mchezaji wa Real Madrid

Klabu ya Chelsea imefikia makubaliano na klabu ya Real Madrid juu ya kumchukua jumla mchezaji Mateo Kovacic ambaye alikua akikipiga kwenye klabu hiyo ya Londoni kwa mkopo msimu uliopita.

Ijapokuwa Chelsea wamefungiwa lakini mchezaji huyo anaweza kusajiliwa kwasababu alijumuishwa kwenye klabu hiyo akiwa kwa mkopo msimu uliopita.

Mkopo huo unaisha Juni 30 kwahiyo Chelsea inatakiwa kukamilisha dili hilo kabla ya tarehe hiyo.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list