We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Wednesday, May 29, 2019

RASMI: YANGA YAMSAJILI MCHEZAJI HUYU WA APR YA RWANDA

Kiungo mshambuliaji wa APR Issa Bigirimana amesajiliwa na Yanga kwa mkataba wa miaka miwili, imefahamika
Bigirimana anaungana na winga Patrick Sibomana ambaye alimalizana na Yanga jana kwa kusaini mkataba wa miaka miwili pia
Jana Zahera alikamilisha usajili wa baadhi ya wachezaji ambapo amesema wengine watasaini mikataba yao leo na kesho
Bado uongozi wa Yanga haujaweka hadharani majembe yote yaliyokamilisha usajili, bila shaka taarifa hiyo itatolewa wakati wowote

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list