We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Wednesday, May 1, 2019

Nay wa Mitego aachana na Nini

Msanii wa Bongofleva Nay wa Mitego, ameweka wazi kuwa ameachana na aliyekuwa mpenzi wake ambaye pia ni msanii wa Bongofleva Nini.

Nay ameimbia eNews ya East Africa Television kuwa, kwasasa ametulia na mwanamke ambaye ni mtulivu na sio mtu wa mitandao wala vyombo vya habari hivyo ametulia na kuacha mambo mengi.
''Mimi na Nini tumeachana, sipo naye tena muda mrefu nina mahusiano yangu mengine na yana utulivu sana. Mimi huwa sijifichi ila kwasasa nimetulia na mwanamke kama wimbo wangu mpya unavyosema Nishaachaga'', amefunguka.
Nay ameongeza kuwa kwasasa anaangalia zaidi familia yake wakiwemo watoto wake kwani wameshakuwa wakubwa hivyo kuna baadhi ya mambo lazima aachane nayo.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list