We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Wednesday, May 1, 2019

Manara atema cheche ‘Sevilla hata mbele imuweke Messi imuazime na Ronaldo kwa Mkapa haitotoka pale ni kaburi /hiki ni kiporo tutakitafuna kama vilivyo vingine’ (+video)

Msemaji wa klabu ya Simba, Haji Manara ameishukuru kampuni ya kubashiri michezo ya SportPesa kwa kuleta timu kubwa kutoka La Liga, Sevilla FC na kujinasibu kuwa hata iwaongeze nyota hatari duniani Lionel Messi na Cristiano Ronaldo kwenye kikosi chao wakijumuisha na klabu za Real Madrid na Barcelona kamwe hawatatoka salama kwenye uwanja wa Taifa na kusisitiza kuwa dimba hilo ni kaburi kwa timu zote zinazotoka nje ya nchi.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list