We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Thursday, May 2, 2019

Msanii Drake ashinda tuzo 12 kwa usiku mmoja


Msanii wa muziki nchini Marekani, Drake ameshinda tuzo 12 usiku wa kuamkia leo kwenye sherehe za utoaji wa tuzo za Billboard Music. 

Kwa Drake ndiye msanii anayeshikilia rekodi ya kushinda tuzo hizo mara nyingi zaidi. 

Ana Jumla ya tuzo 27 ikiwa ni pamoja na 7 alizozishinda pia ndani ya usiku mmoja kwenye Tuzo za mwaka jana. 

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list