We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Thursday, May 2, 2019

Watatu kuikosa Tanzania Prisons leo


Leo Alhamisi jioni Yanga itakuwa dimba la Uhuru kuikabili Tanzania Prisons katika mchezo wa ligi kuu ya Tanzania Bara


Yanga itamkosa mlinda lango Klaus Kindoki anayetumikia adhabu ya kadi tatu za njano
Pia beki wa kushoto Gadiel Michael alipata majeraha katika mchezo uliopita dhidi ya Azam Fc anatarajiwa kukosekana pamoja na mkongwe Kelvin Yondani ambaye leo anamaliza adhabu ya kukosa michezo mitatu

Yondani atarejea kikosini kwenye mchezo wa nusu fainali kombe la FA (ASFC) dhidi ya Lipuli Fc utakaopigwa mkoani Iringa, May 06 uwanja wa Samora

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list