We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Thursday, May 30, 2019

Kiungo kutoka Mafunzo asaini miaka miwili Yanga

Kiungo Mafunzo ambaye yuko kwenye kikosi cha timu ya Taifa ya Zanzibar, Abdulaziz Makame, amesaini mkataba wa miaka miwili kuitumikia Yanga
Makame anakuwa mchezaji wa kwanza wa ndani kusajiliwa na Yanga msimu huu
Kiungo huyo mwenye umri wa miaka 23 alikuwa akiwaniwa na AFC Leopards ya Kenya lakini ni Yanga iliyofanikiwa kuipata sahihi yake
Kocha Mkuu wa Yanga Mwinyi Zahera ameidhinisha usajili wa Makame ambaye atakuwa miongoni mwa wachezaji wanne wazawa wakaosajiliwa na Yanga

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list