We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Thursday, May 30, 2019

Beki Mghana asaini miaka miwili Yanga

Wakati wa michuano ya SportPesa Super Cup, beki Lamine Moro raia wa Ghana aliitumikia Simba, akicheza mechi zote za timu hiyo
Katika michuano hiyo, klabu ya AFC Leopards ilimuwekea pingamizi beki huyo kutokana na leseni yake kuonekana ni mchezaji halali ya wa Buildcon FC ya Zambia
Hata hivyo pingamizi hilo lilitupiliwa mbali
Juzi Lamine nae alisaini mkataba wa miaka miwili kuitumikia Yanga
Ujio wa Lamine umefanikishwa na kocha Mwinyi Zahera ambaye kabla ya kutua Yanga aliinoa kwa kipindi kifupi klabu ya Buildcon na kuvutiwa na uwezo wa mlinzi huyo wa kati
Wakati huu Yanga inaendelea na mazungumzo na mshambuliaji Mzambia Kalengo Maybin aliyetokea klabu ya ZESCO United
Mzambia huyo tayari yuko nchini akitarajiwa 'kusinya' mkataba wa miaka miwili kuchukua nafasi ya Heritier Makambo aliyetimkia Horoya AC

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list