We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Thursday, May 30, 2019

Afande Sele afunguka makubwa kuhusu msemaji wa Simba Manara, baada ya kuambiwa ‘Anasubiria tu kufa, hana hata hela ya kula’ (+Video)

Msanii mkongwe wa muziki wa Hip Hop hapa Tanzania, Afande Sele amefunguka mengi sana baada ya msemaji wa Simba Haji Manara kusema kuwa Afande Sele hana hela ya kula anasubiria tu kufa. hii ilianzia pale Afande Sele alipomshambulia kwa maneno makali msemaji wa Klabu ya Simba, Haji Manara kwa kusema kuwa ni mshamba na hana elimu ya kuiongoza klabu hiyo kwani ameunga unga tu elimu ya darasani .
Haya ndio maneno ya Afande Sele:-



No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list