We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Wednesday, March 27, 2019

TETESI: Gadiel Michael kufanya majaribio ya soka kwenye klabu hii kubwa Afrika Kusini

Tetesi zilizopo katika usajili ni kuwa beki wa pembeni wa timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars, Gadiel Michael imedaiwa kuondoka nchini kuelekea nchini Afrika Kusini kwaajili ya majaribio.



Gadiel Michael ambaye anakipiga kwenye klabu ya mabingwa wa kihistoria wa ligi kuu soka Tanzania Bara Yanga imedaiwa amekwenda kufanya majaribio kwenye klabu ya Bidvest West ya Afrika Kusini.
Nyota huyo wa Taifa Stars anatarajiwa kuwa huko kwa muda wa wiki mbili kabla ya kurejea nchini.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list