We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Monday, March 25, 2019

Mke wangu alikuwa ananiambia leo tunafunga, nikamwambia wewe unajua nini? - Rais Magufuli


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amesema kuwa aliikatia tamaa Timu ya Tanzania na kuhisi kuwa itafungwa huku akisema aliona ni vyema aangalie mpira akiwa ndani kuliko kwenda kupata fedheha.

Rais Magufuli amesema kuwa alipanga asiite Timu yoyote Ikulu, na hakuwahi kumtafuta Waziri Mwakyembe tangu iliposhindwa kipindi cha nyuma.

"Lilipofungwa goli la kwanza nilijua tu bado tutafungwa, mpaka lilipofika goli la tatu nikasema hapa tunafunga nikageukia Lesotho, Mke wangu aliniambia kuwa Tanzania leo tunafunga nikamwambia wewe unajua nini?, amesema Rais Magufuli.

Aidha amesema kuwa "Watanzania tunaweza ila tatizo ni moja,inawezekana baada ya kushinda jana viburi vimewajaa, najua mnapenda kupongezwa ngoja mimi niwatandike hapa hapa."

Rais Magufuli ameiita timu hiyo Ikulu, kufuatia jana kuifunga timu ya Uganda 3 bila na kufuzu AFCON 2019.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list