We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Thursday, March 28, 2019

CAF waendesha mafunzo kuhusu utumiaji wa teknolojia ya VAR


Juhudi za kukuza soka barani Afrika zinaendela baada ya CAF kuzindua mafunzo ya matumizi ya usaidizi wa maamuzi kupitia video (VAR) jijini Johannesburg, Afrika kusini jumanne machi 26.

Mafunzo hayo ya siku tano yamepangwa kumalizika Machi 30 na kushirikisha waamuzi 21 na waamuzi wasaidizi 23 kutoka mataifa 32 mwanachama wa shirikisho la soka la Afrika CAF, ambapo wanajifunza kiundani namna ya kutumia teknolojia hiyo mpya kwenye kufanya maamuzi uwanjani.

Mkurugenzi wa bodi ya kimataifa ya sheria za mchezo (IFAB) David Elleray ambaye anaongoza mafunzo hayo, amesema waamuzi hao wamevutiwa na teknolojia hiyo na wanatizama mbele kuanza kuitumia kwenye ligi wanazochezesha hapa barani Afrika. 

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list