We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Thursday, March 28, 2019

Wanaoingiza viuatilifu bandia kufutiwa leseni


Waziri wa Kilimo Japhet Hasunga amesema Serikali itawafutia leseni waagizaji wakubwa wa pembejeo za kilimo watakaobainika kuingiza pembejeo na viuatilifu bandia kutoka nje bila kujali athari inazolisababishia taifa kwenye ukuzaji wa sekta ya kilimo. 

Hasunga ametoa angalizo hilo jijini arusha kwenye kongamano linalowakutanisha maafisa ugani, watafiti na waagizaji wa pembejeo kujadili namna ya  kuwasaidia wakulima kuepukana na matumizi yasiyo sahihi ya pembejeo na visumbufu vya mimea na mazao. 

Akizungumzia hatua zinazochukuliwa  kudhibiti uingizwaji holela wa pembejeo na viuatilifu hivyo bandia kaimu mkurugenzi wa taasisi ya utafiti wa viuatilifu nchini tpri dakta Magreth Mollel anasema wanakusudia kuongeza vituo vya ukaguzi mipakani. 

Baadhi ya wazalishaji na wasamabazaji  wa pembejeo za kilimo Suleiman Ally  aliyehudhuria kongamano hilo wanaema uingizwaji holela wa bidhaa bandia kutoka nje ya nchi kunawafanya kushindwa kufanya uzalishaji wa tija.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list