Waziri wa Viwanda na Biashara ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Karagwe Innocent Bashungwa ameshiriki na kuzindua Karagwe ya Kijani Kibichi iliyozinduliwa katika Viwanja vya Changarawe vilivyopo Karagwe Mkoani Kagera ambapo ametumia nafasi hiyo kueleza mipango yake kama Waziri wa Viwanda na Biashara sambamba na mipango yake Jimboni.
We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.
Subscribe to our RSS feed to stay updated on our progress.
No comments:
Post a Comment