Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanriamefunga mradi wa Heifer Tanzania wa Igunga ECOVILLAGE unaofadhiliwa na Serikali ya Uholanzi uliokuwa ukifanywa kwenye jamii ili kuwafundisha kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi.
katika hafla ya kufunga mradi huo RC Mwanriamewataka wananchi kutumia elimu waliopatiwa katika kutunza mazingira.
No comments:
Post a Comment