We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Wednesday, September 18, 2019

MWL. MKUU AKAMATWA BAADA BINTI ALIYEMKANA KUKAMATWA

Kamanda wa Polisi mkoani Kigoma, ACP Martin Ottieno amesema tayari jana usiku wamemkamata kwa mara nyingine Mwalimu mkuu wa Shule ya Msingi Nyantore, Jason Rwekaza (42) ambaye aliachiwa huru na Mahakama ya Hakimu mkazi Kigoma Septemba 16 baada ya mwanafunzi kukana ushahidi alioutoa polisi mbele ya mahakama kwamba hamfahamu aliyeshiriki naye mapenzi hadi kupata mimba.

Kamanda ACP Ottieno amesema kuna jambo lililomshawishi mwanafunzi kufikia uamuzi huo na sasa wanaandaa mashtaka dhidi ya mwalimu huyo kwa makosa yanatomkabili na muda siyo mrefu watamfikisha mahakamani.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list