We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Tuesday, September 3, 2019

Uzalendo mwisho Azam Fc, wengine wapambane na hali yao - Manara

Kabla ya michezo ya kuhitimisha hatua ya awali michuano ya CAF, Msemaji wa Simba Haji Manara alikuwa mstari wa mbele kuwahamasisha mashabiki kuziunga mkono timu zote za Tanzania zinazoshiriki michuano hiyo yaani Azam Fc, KMC, Simba na Yanga
Lakini cha kushangaza kwenye mchezo kati ya Simba dhidi ya UD Songo, mashabiki wa Yanga walijitokeza kwa wingi uwanja wa Taifa kuiunga mkono Songo
Tukio hilo limemuibua tena Manara ambaye sasa amesema mashabiki wa Simba ruksa kuiunga mkono timu yoyote itakayokuja kucheza na Yanga, suala la uzalendo litabaki kwa Azam Fc tu!
"Wanasimba nawaomba radhi sana kuwaambia msiwashangilie wageni katika mechi zao ,wao wakawashangilia UD Songo"
"Sasa dini yangu inaruhusu kisasi hasa kwa watu wanaorejea kila siku makosa"
"Zesco nyie njooni bila mashabiki,huku mtatukuta tumejaa kuliko pishi ya mchele"
"Pa kufikia tushawaandalia!!, Yes uzalendo mwisho Azam fc"

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list