We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Sunday, September 15, 2019

UN watoa tamko kuhusu Demokrasia Duniani

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN) Antonio Gutteres, ameziomba Serikali zote duniani kuheshimu utawala wa sheria, ikiwa ni pamoja na kuruhusu mawazo ya watu na kuheshmu haki ya kila mmoja.


Antonio Gutteres, amesema hayo ikiwa leo ni maadhimisho ya siku ya demokrasiaduniani, ambapo amesema kila Taifa linatakiwa kujua demokrasia ni utawala unaowahusu watu.
Amesema kila Taifa linatakiwa kujua binadamu yeyote anatakiwa kuheshimiwa, kuthaminiwa, pamoja na kuhakikisha kwamba amani ya nchi inapatikana.
"Ikiwa leo ni Siku ya Demokrasia duniani, nazishauri nchi zote duniani kuheshimu haki ya kila mmoja, ushirikishwaji, pamoja na kusikilizana pia
niwashukuru wote ambao mnaopigania haya mpaka yanatokea katika mataifa yenu
" amesema Antonio Gutteres
September 15 ya kila mwaka, UN huadhimisha Siku ya Demokrasia duniani, ili kukumbushana mambo muhimu ya kuzingatia, katika kuhakikisha watu wanakuwa na uhuru wa mawazo.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list