We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Tuesday, September 3, 2019

Stars yatua Burundi kibabe

Kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' kimewasili salama nchini Burundi tayari kwa mchezo wa kusaka tiketi ya michuano ya kombe la dunia, kesho ikiumana na wenyeji wao Burundi
Stars imewasili Burundi ikiwa na nyota wake wote wakiongozwa na Mbwana Samatta
Msafara wa timu hiyo ulipokewa na waandishi wa habari kutoka Tanzania ambao walitangulia kwa basi nchini humo







No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list