We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Tuesday, August 20, 2019

Yanga yaomba mechi dhidi ya Ruvu Shooting ipigwe August 30

Uongozi wa klabu ya Yanga umeomba mchezo wake wa kwanza wa ligi kuu ya Tanzania Bara ambao umepangwa kupigwa August 28, usogezwe mpaka August 30 kutokana mabingwa hao wa kihistoria kukabiliwa na ratiba ya mchuano ya ligi ya mabingwa
Yanga iko nchini Botswana ambapo Jumamosi ijayo August 24 2019 itashuka dimbani kuikabili Township Rollers
Kulingana na Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Mashindano Saad Kimji, Yanga inatarajiwa kuondoka Botswana usiku wa kuamkia August 27
Hivyo kutokana na ufinyu wa muda, haitakuwa rahisi wao kurejea August 27 kisha August 28 washuke tena dimbani
Yanga itafungua ligi kwa kuumana na Ruvu Shooting katika mchezo utakaopigwa uwanja wa Taifa/Uhuru

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list