We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Saturday, August 17, 2019

Yanga yamaliza kambi Moshi, yaelekea Arusha

Kikosi cha Yanga kimemaliza kambi ya siku tatu mkoani Kilimanjaro na kinaelekea mkoani Arusha kufanya maandalizi ya mwisho kabla ya mchezo wa marudiano ligi ya mabingwa dhidi ya Townshipa Rollers
Yanga ilimaliza kambi Moshi kwa kukubali kipigo cha mabao 2-0 kutoka kwa Polisi Tanzania
Kesho Yanga itashuka uwanja wa Sheikh Amri Abeid kucheza mchezo wa Kimataifa wa kirafiki dhidi ya AFC Leoprads
Mchezo huo utakuwa wa mwisho kabla ya safari ya kuelekea Botswana siku ya Jumanne
Kocha wa mabingwa hao wa kihistoria Mwinyi Zahera amesema kesho atatumia kikosi tofauti na kile kilichopoteza mchezo dhidi ya Polisi Tanzania jana
Pengine kikosi hicho ndicho kitakachoikabili Township Rollers Jumammosi ijayo huko Botswana

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list