We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Wednesday, August 28, 2019

Yanga yakung'utwa bao 1-0 na Ruvus

Yanga imeanza kwa kuchechemea ligi kuu ya Vodacom msimu wa 2019/20 baada ya kukubali kipigo cha bao 1-0 kutoka kwa Ruvu Shooting
Ruvu Shooting walijipatia bao lao kwenye dakika ya 20 kipindi cha kwanza
Licha ya kutawala mchezo huo kwa muda mwingi, safu ya ushambuliaji Yanga ilishindwa kumaliza nafasi nyingi walizotengeneza
Bado kocha Mwinyi Zahera ana kazi ya kutengeneza muunganiko wa safu hiyo kwani haiko sawa
Ruvu Shooting imepata ushindi kwa mara ya kwanza baada ya timu hizo kukutana mara 13 Yanga ikiibuka kidedea mara zote

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list