We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Sunday, August 4, 2019

Yanga Digital yazinduliwa

Uongozi wa klabu ya Yanga umekisikia kilio cha wapenzi na mashabiki wa klabu hiyo ambao wamekuwa wakihitaji kusajiliwa kuwa wanachama
Ni kwamba Yanga imezindua YANGA DIGITAL, utaratibu ambao utawawezesha kujisajili kupitia simu zao za mkononi
Kupitia mfumo huo shabiki unaweza kujisajili kuwa Mwanachama, kulipia ada, kupata taarifa na pia kuchangia mipango mbalimbali ya maendeleo
Utaratibu huu utakuwezesha kuwa karibu zaidi na Yanga

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list