We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Thursday, August 29, 2019

Washika vibendera katika soka nafasi zao kuchukuliwa na maroboti


Shirikisho la mchezo wa mpira wa miguu duniani (FIFA) limeripotiwa kuwa kwa sasa linafikiria uwezekano wa kuwaondoa washika vibendera katika mechi (linesmen) na nafasi zao kuchukuliwa na maroboti.

Mtandao wa Mirror wa nchini England unaeleza kuwa hadi sasa FIFA wana kitengo maalum kinachofanya uchunguzi na kushughulikia kwa undani zaidi kama wanaweza kuwaondoa washika vibendera na wakaanza kutumia teknolojia kuamua mpira wa kuotea (offside) na mipira ya kurusha.

"FIFA tayari imeshakuwa na hiki kitengo cha uchunguzi kuhusiana na hili suala, waamuzi wasaidizi majukumu yao yatekelezwe na Camera na computer kuongoza offsides na mipira ya kurusha" kilisema chanzo ambacho jina lake limehifadhiwa.

Kama teknolojia hiyo itakubalika na kuwa kweli basi watu wa familia ya soka ambao wamekuwa wakiipinga VAR hawatafurahishwa nayo.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list