We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Saturday, August 17, 2019

Wageni SADC kushuhudia mtanange wa Simba vs Azam Fc

Viongozi wa mataifa mbalimbali barani Afrika leo watakuwa na nafasi ya kushuhudia mchezo wa Ngao ya Jamii kati ya Simba dhidi ya Azam Fc utakaopigwa saa moja jioni kwenye uwanja wa Taifa
Mkutano wa SADC unaendelea hapa nchini ambapo Marais na Mabalozi wa Mataifa mbalimbali wako nchini kuhudhuria Mkutano huo
Leo ikiwa ni wikiendi viongozi wengi wanatarajiwa kuwepo uwanja wa Taifa kushuhudia mchezo huo utakaozikutanisha timu hizo.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list