We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Saturday, August 17, 2019

MKUTANO SADC : Magufuli atoa agizo la Zimbabwe

Mwenyekiti mpya wa Jumuiya ya SADC Dkt John Pombe Magufuli ameziomba Jumuiya za Kimataifa kuiodolewa vikwazo vya kiuchumi, Zimbabwe kwa kile alichokisema kufungiwa kwa nchi hiyo wanaoathirika hadi wanachama wa Jumuiya hiyo.

Rais Magufuli ametoa kauli hiyo jijini Dar es salaam wakati wa mkutano wa 39 wa SADC katika ukumbi wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere, ambapo aliwaomba wanajumuiya kulisema suala hilo.
"Zimbabwe wamekuwa kwenye vikwazo kwa muda mrefu, hichi kifungo tunaathirika sisi wote, napenda kupendekeza kupitia mkutano huu kuziomba Jumuiya za Kimataifa ziiondolee vikwazo Zimbabwe, na nawaomba wanachama wote tulisemee hili." amesema Rais Magufuli
Aidha kuhusiana na suala uchumi Rais Magufuli amesema "kwa mawazo yangu binafsi, nadhani kama tukifanya kazi kwa pamoja kama Jumuiya ya SADC, nadhani uchumi utakua zaidi ya asilimia 3.1."
Mkutano wa SADC unaendelea kwa siku 2 kuanzia leo Agosti 17 na kesho 18.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list