We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Tuesday, August 6, 2019

Spika Ndugai awataka Watanzania kupanga familia kulingana na uchumi


Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai amewataka watanzania kuwa na utaratibu wa kupanga familia kulingana na uchumi walionao.

Ameyasemayo jijini Dar es Salaam, baada ya kufungua mkutano wa wabunge kutoka bara la Asia na Afrika unahusu masuala ya idadi ya watu na maendeleo.

Akizungumza katika mkutano huo, Ndugai amesema kuwa wao kama bunge kazi yao kubwa ni kuishauri serikali katika sera mbalimbali ambazo zitasaidia katika kuhakikisha kunakuwa na idadi endelevu ya watu ambao wanaishi maisha marefu na pia yenye uchumi mzuri.

“Kuna baadhi ya nchi zilizoendelea sana kama Japani na kwingine ambako idadi ya watu sehemu kubwa ni wazee inategemewa idadi yao kupungua”.

“Uwe na idadi ya watu kuendana na uchumi wetu katika kiwango cha familia, kaya na baadae katika taifa kwa ujumla,”amesema Ndugai.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list