We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Friday, August 2, 2019

Simba kushiriki zoezi la uchangiaji damu leo

Katika mwendelezo wa Sportpesa Simba Week, leo klabu ya Simba itakuwa na zoezi la uchangiaji damu kwa kushirikiana na mpango wa Taifa wa damu salama
Zoezi la uchangiaji damu ambalo limedhaminiwa na Taasisi ya Mo Dewji, leo litafanyika maeneo ya Stendi ya Mbagala na Ubungo
Wapenzi, wanachama na mashabiki wa Simba wametakiwa kujitokeza kwa wingi kushiriki zoezi hilo
Siku ya kesho Jumamosi zoezi litafanyika Makao Makuu ya klabu, Msimbazi Kariakoo na Stendi ya Mbagala
Muda ni kuanzia saa mbili asubuhi mpaka saa 11 jioni

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list