We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Friday, August 2, 2019

Kiongozi ashushwa cheo na waziri Kalemani kufuatia kukatika kwa umeme

Kufuatia hitilafu ya kukatika kwa umeme kulikotokea asubuhi ya Agosti 1 katika maeneo mbalimbali ya nchi, msimamizi wa nguzo kubwa za umeme ameshushwa cheo kwa kile kilichoelezwa kwamba Serikali haiwezi kufanyakazi na watendaji wazembe.

Agizo hilo la kushushwa cheo limetolewa na Waziri wa Nishati Dkt. Merdad Kalemani baada ya kuonyesha kutoridhishwa na taarifa ya hitilafu hiyo, iliyosababisha taharuki kwa wananchi.
Waziri Kalemani akizungumza mara baada ya kutembelea nguzo hizo zilizo mbali kidogo na mitambo ya kufua umeme ya Kinyerezi, amesema Serikali haiko tayari kufanyakazi na watendaji wanaoshindwa kutekeleza majukumu yao.
Akielezea tatizo liliotokea, Mhandisi Msimamizi aliyoteuliwa na Dkt. Kalemani kushika nafasi hiyo, Mhandisi Samson Ngunga ameahidi kutafuta ufumbuzi wa hitilafu hiyo ya umeme haraka iwezekanavyo.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list