We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Friday, August 2, 2019

Nyota 27 waliotumwa CAF

Usajili wa CAF kwa ajili ya michuano ya ligi ya mabingwa ulifungwa usiku wa kuamkia jana, Yanga ilikamilisha usajili wake kwa kuongeza mshambuliaji mmoja David Molinga ambapo hata hivyo walilazimika kulipa dola 500 kuweza kumuandikisha
Molinga amechukua nafasi ya Klaus Kindoki
Hiki hapa kikosi cha Yanga CAF
1. Farouq Shikalo
2. Metacha Mnata
3. Ramadhani Kabwili
4. Paulo Godfrey
5. Juma Abdul
6. Mwarami Issa
7. Jaffar Mohammed
8. Andrew Vicent
9. Kelvin Yondani
10. Ally Ally
11. Mustafa Suleyman
12. Ally Mtoni
13. Lamine Moro
14. Papy Tshishimbi
15 Feisal Salum
16. Abdulaziz Makame
17. Mohammed Issa
18. Patrick Sibomana
19. Raphael Daudi
20. Issa Bigirimana
21. Mapinduzi Balama
22. Deus Kaseke
23. Mrisho Ngasa
24. Sadney Khoetege
25. Maybin Kalengo
26. Juma Balinya
27. David Molinga

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list